• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watuishi |
Mlele District Council
Mlele District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi Mkuu
    • Mpango Mkakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Afya
    • Viengo
      • TEHAMA na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Kilimo na Umwagiliaji
    • Huduma za Kilimo
    • Uvuvi
    • Elimu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orotha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Mazingira
      • Ukimwi
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa
      • Kumuona Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayotekelezwa
    • Iliyotekelezwa
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Mkataba wa Huduma
    • Sheria Ndogo
    • Taarifa mbalimbali
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
  • Kiini cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Album ya Picha
    • Video
    • Hotuba

Mkuu wa Wilaya atembelea na kukagua Madarasa yanayojengwa

Posted on: January 28th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Mlele Mheshimiwa Rachel Kassanda leo tarehe 28.01.2019 ameitembelea Shule ya Sekondari ya Inyonga na kukagua Madarasa mawili yanayojengwa ajili ya kumaliza changamoto ya Madarasa mawili yanayojengwa baada ya hao wanafunzi kukosa madaras awali! Mheshimiwa D.C ameagiza Ubao wa kuandikia na Madawati yote kuwekwa Kwenye Madarasa hayo mawili ili Masomo yaendelee! Pia Mheshimiwa D.C ametumia muda huo kuongea na Walimu wa Shule hiyo ambapo amewataka Walimu hao kujituma zaidi ili Mwaka ujao ufaulu uongezeke zaidi! Pia Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya aliweza kunywa Soda Walimu wa Shule hiyo! Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi pia wamewaahidi Walimu watakaofundisha na kufanikiwa kufaulisha wanafunzi wao kwa kupata Alama ‘A’ Kwenye Somo atapata Motisha ya Tsh 50,000/= kwa kila ‘A’! Aidha Walimu pia wameaidi kufundisha kwa bidii!

Matangazo

  • MAPOKEZI YA MWENGE April 09, 2017
  • WIMBO WA MWENGE April 09, 2017
  • TANGAZO LA KUNYWA DAWA ZA MINYOO YA TUMBO April 26, 2017
  • Nafasi za kazi mbalimbali serikalini July 11, 2018
  • Waonaji wote

Habari Mpya

  • WAZIRI JAFFO AMETANGAZA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA

    December 05, 2019
  • Halmashauri ya Wilaya ya Mlele ya Upaisha Mkoa Wa Katavi Katika Uandikishaji Uchaguzi Serikali za Mitaa na Ufaulu Darasa la Saba

    October 20, 2019
  • SIKU YA UCHAGUZI WA SERIKARI ZA MITAA.

    September 23, 2019
  • MKUU WA MKOA AZIDI KUIBUA MADUDU YA TBA KWENYE MRADI WA WILAYA YA MLELE

    September 24, 2019
  • Waonaji wote

Video

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO VINGUNGUTI
Video Zaidi

wavuti za Haraka

  • FACE BOOK PAGE YA MLELE
  • MLELE DC BLOG
  • kilimo na umwagiliaji
  • mafunzo tovuti za serikali kanda ya magharibi
  • MAONESHO

Wavuti Mwambata

  • Wizara ya Utumishi wa Umma
  • Tume ya ajira ya Tanzania
  • Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania
  • Jamhuri ya muungano wa tanzania
  • Tawala za mikoa na Serikali za mitaa
  • BARAZA LA MITIHANI

Takwimu za Watembeleaji

world map hits counter

Hesabu Watembeleaji

writingMasterThesis

Ramani ya eneo

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele

    Anuani ya Posta: S.L.P 686 MPANDA

    Simu: +255759023788

    Simu ya Kiganjani: 0759023788

    Barua pepe: ded@mleledc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki ya @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hakizote zimehifadhiwa